Thursday, 28 January 2016


Mashabiki wengi na wapenda soka walibashiri kuwa Washika Mtutu hao wangewafunga mahasimu wao wa London na kujikita kileleni, lakini bao la Diego Costa la dakika ya 23 liliwawezesha Blues ambao wamekuwa wakihaha msimu huu wameifunga timu ya Arsene Wenger mara mbili.
Hapakuwa na msaada wowote pamoja na beki Per Mertesacker kuonyeshwa kadi nyekundu baada ya kumwangusha Costa dakika tano kabla ya goli kupatikana, Mjerumani huyo alipokuwa mtu wa mwisho na kumweka straika huyo wa Chelsea chini. habari zaidi

No comments:

Post a Comment