Saturday, 30 January 2016

The National Council for Technical Education (NACTE) would like to inform the general public that, it has issued a “no objection” letter to Mong’are Teachers College which... see more

Matokeo ya Upimaji wa Kitaifa Darasa la Nne (SFNA) 2015
http://necta.go.tz/matokeo/2015/SFNA/index.htm

Magufuli amuongezea Muda Mwamunyange JWTZ

Rais John Magufuli amemwongeza muda wa mwaka mmoja Mkuu wa  majeshi ya ulinzi nchini, Jenerali David Mwamunyange aliyetakiwa kustaafu kazi leo. Akizungumza na waandishi wa habari leo makao makuu ya Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) yaliyopo  Upanga jijini Dar es salaam, Jenerali Mwamunyange amesema leo alitakiwa kuungana... habari zaidi


Thursday, 28 January 2016


TOP NEW

Ukweli wa Diamond Platnumz kuhusu mwanae Tiffah, Ommy Dimpoz na kichurachura cha wanajeshi.. (+Video)

Kama hizi stori hujakutana nazo nimeona nizikusanye na kukuletea kwa pamoja

kwa habari zaidi

Ajib aula tuzo Simba

 MSHAMBULIAJI wa Simba, Ibrahim Ajib ameshinda tuzo ya Mchezaji Bora wa Desemba wa klabu.. kwa habari zaidi

Ukawa watoka bungeni

Na Khamis Mkotya, Dodoma
WABUNGE wa kambi ya upinzani jana walitoka bungeni, huku ulinzi mkali ukiwa umeimarishwa katika viunga vya Bunge, MTANZANIA linaripoti.. kwa habari zaidi

 

KIJIWENI BONGO MOVIE COMING SOON
Jiandae kupata nakala mpya kutoka bomgo movie iitwayo KIJIWENI. Filamu ambayo inajumuisha wasanii mbali mbali kutoka Tanzania kama vile Hashimu Mohammedi na wengineo wengi.. usingoje kuhadithiwa ngoja ujionee mwenyewe....

 RATIBA YA SOKA UINGEREZA

Season: 2015-2016

Tuesday 2 February 2016
19:45 Arsenal v Southampton Emirates Stadium
 
19:45 Leicester v Liverpool King Power Stadium
 
19:45 Norwich v Spurs Carrow Road  
 
19:45 Sunderland v Man City Stadium of Light  
 
19:45 West Ham v Aston Villa Boleyn Ground  
 
20:00 Crystal Palace v Bournemouth Selhurst Park  
 
20:00 Man Utd v Stoke Old Trafford
 
20:00 West Brom v Swansea The Hawthorns  
 
Wednesday 3 February 2016
19:45 Everton v Newcastle Goodison Park
 
19:45 Watford v Chelsea Vicarage Road
 

Mashabiki wengi na wapenda soka walibashiri kuwa Washika Mtutu hao wangewafunga mahasimu wao wa London na kujikita kileleni, lakini bao la Diego Costa la dakika ya 23 liliwawezesha Blues ambao wamekuwa wakihaha msimu huu wameifunga timu ya Arsene Wenger mara mbili.
Hapakuwa na msaada wowote pamoja na beki Per Mertesacker kuonyeshwa kadi nyekundu baada ya kumwangusha Costa dakika tano kabla ya goli kupatikana, Mjerumani huyo alipokuwa mtu wa mwisho na kumweka straika huyo wa Chelsea chini. habari zaidi
 man city imestahili kucheza fainali wembley

Goli la manchester city alilofunga Sergio Auero dhidi ya Everton kwenye uwanja la Etihad limeipeleka Manchester City kwenye fainali ya michuano ya Capital One

AY asema remix ya Zigo akiwa na Diamond ni funzo kwa wasanii wengine


AY amesema aliamua kufanya remix ya Zigo na Diamond ili kuwapa funzo wasanii wenzake wa ndani..... habari zaidi

Wizara Ya Ujenzi, Uchukuzi Na Mawasiliano : Taarifa Kwa Umma Kuhusu Kufungwa Kwa Muda Barabara Ya Mpanda – Koga – Tabora

Tunapenda kutoa taarifa kwa Umma kuwa, Barabara ya Mpanda – Koga – Tabora imefungwa kwa muda kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha nchini zilizosababisha kufurika kwa mto Koga na..... habari zaidi

 

Serikali Yatoa Ufafanuzi Juu Ya Kutorusha Matangazo Ya Bunge

 


MWANAMITINDO, FLAVIANA MATATA AZINDUA RANGI YA KUCHA JIJINI DAR LEO.

Mwanamitindo wa Tanzania ambaye anafanya kazi za mitindo nchini Marekani, Flaviana Matata amezindua bidhaa za  urembo za kucha zinazojulikana kwa jina la LAVY, amezindua bidhaa hiyo mbele ya waandishi wa habari na kuomba wanawake na watumiaji rangi za kucha  wamuunge mkono kwani ni bidhaa ambayo ipo kwenye soko kwa kipindi hiki kwani kila mwanamke anapenda kupendeza... habari zaidi 

Thursday, January 28, 2016

MRADI MANJANO DREAM MAKERS WA KUKWAWEZESHA MANAWAKE WAJASIRIAMALI WAINGIA ZANZIBAR

Mradi wa Kuwawezesha wanawake Kupitia Tasinia ya Urembo ujulikanao kama Manjano Dream-Makers waingia Zanzibar. Wataalamu kutoka Taasisi ya Manjano Foundation wataendesha mafunzo kuanzia tarehe  1 February 2016 kwenye ukumbi wa  Mtoni Marine Hotel Zanzibar. Wanawake 30 wa Zanzibar.... habari zaidi