Saturday, 30 January 2016

Magufuli amuongezea Muda Mwamunyange JWTZ

Rais John Magufuli amemwongeza muda wa mwaka mmoja Mkuu wa  majeshi ya ulinzi nchini, Jenerali David Mwamunyange aliyetakiwa kustaafu kazi leo. Akizungumza na waandishi wa habari leo makao makuu ya Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) yaliyopo  Upanga jijini Dar es salaam, Jenerali Mwamunyange amesema leo alitakiwa kuungana... habari zaidi


No comments:

Post a Comment